Tue, 11 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Christian Pulisic amekamilisha uhamisho wake wa kujiunga na AC Milan akitokea Chelsea.
AC Milan watalipa ada kiasi cha €20M pamoja na nyongeza. Christian Pulisic atasaini Mkataba wa miaka minne hadi Juni 2027.
Atapokea kiasi cha €4M kwa mwaka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live