Thu, 27 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Brighton imekamilisha usajili wa mlinzi Igor Julio kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 20 kutoka Fiorentina.
Klabu ya Brighton imekamilisha usajili wa mlinzi Igor Julio kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 20 kutoka Fiorentina. Igor (25) raia wa Brazil amesaini mkataba wa miaka minne mpaka Juni 2027.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live