Thu, 26 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Tottenham Hotspur imekamilisha usajili wa mshambuliaji Arnaut Danjuma (25) kwa mkataba wa mkopo mpaka mwisho wa msimu.
Klabu ya Tottenham Hotspur imekamilisha usajili wa mshambuliaji Arnaut Danjuma (25) kwa mkataba wa mkopo mpaka mwisho wa msimu. Spurs imejumuisha kifungu cha kumchukua jumla nyota huyo mzaliwa wa Nigeria mwenye uraia wa Uholanzi ikiwa atakuwa na kiwango cha kuridhisha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live