Fri, 14 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kati wa klabu ya Ajax Jurrien Timber amejiunga na klabu ya Arsenal inayoshiriki Ligi Kuu England maarufu kama EPL.
Mlinzi wa kati wa klabu ya Ajax Jurrien Timber amejiunga na klabu ya Arsenal inayoshiriki Ligi Kuu England maarufu kama EPL. Mchezaji huyo wa kiholanzi amepewa mkataba wa muda mrefu ndani ya Arsenal ( miaka 5 ) Kwa dau la £38m,Na nyongeza baadaye £10m.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live