Thu, 6 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kijana wa miaka 16 Lazarus Peter George Laku AMEITWA kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Sudan Kusini, kabla ya mechi yao ya kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA dhidi ya Togo na Sudan,
Lazarus anachezea Future Stars Academy alijiaolea umaarufu mwaka jana baada ya kufunga mabao SABA dhidi ya Djibouti kwenye michuano ya CECAFA U15.
Alifikisha miaka 16 siku tano tu zilizopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live