Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeitoza klabu ya Dodoma Jiji faini ya Tsh laki tano (Tsh 500000) kwa kosa la wachezaji wake sita (6) kuonywa kwa kadi ya manjano katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union ambapo Dodoma Jiji iliibuka na ushindi wa 2-1 katika dimba la Jamhuri jijini Dodoma Agosti 15, 2023.
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeitoza klabu ya Dodoma Jiji faini ya Tsh laki tano (Tsh 500000) kwa kosa la wachezaji wake sita (6) kuonywa kwa kadi ya manjano katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union ambapo Dodoma Jiji iliibuka na ushindi wa 2-1 katika dimba la Jamhuri jijini Dodoma Agosti 15, 2023.