Sat, 11 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wenyeji, Dodoma Jiji wamelazimishwa sare ya mabao na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku wa jana Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma.
Wenyeji, Dodoma Jiji wamelazimishwa sare ya mabao na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku wa jana Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Kwa matokeo hayo, Dodoma Jiji FC wanafikisha pointi 29 katika mchezo wa 25 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya 10, wakati Tanzania Prisons wanafikisha pointi 33 katika mchezo wa 26 na kupanda kwa nafasi moja hadi ya tano.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: