Sun, 9 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hii ni sehemu ya hotuba ya Waziri wa Sanaa tamaduni na michezo Mhe. Dkt. Damasi Ndumbaro kwenye Mkutano Mkuu wa klabu ya Yanga.
"Tukiondoa ushabiki wetu, Yanga wamepiga hatua kubwa sana kwenye maendeleo ya soka. Nasema hivi ili vilabu vingine vipate wivu. Jambo hili halijatokea kama uyoga, tuwape heshima zao, Injinia Hersi na GSM. Nawasihi wanayanga wawalinde hawa watu kwa wivu mkubwa sana. Asije mtu akatokea na njaa zake akawarudisha mlikotoka. Ile klabu yangu mimi, bundi amehamia sasa hivi" Waziri wa Sanaa tamaduni na michezo Mhe. Dkt. Damasi Ndumbaro
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: