Sat, 27 Jan 2024
Chanzo: Mwanaspoti
Mshambuliaji wa zamani wa Vilabu vya Njombe Mji, Polisi Tanzania, Geita Gold FC, Fountain Gate, Mbeya City na Yanga SC Ditram Nchimbi amejiunga na klab ya Etincelles ilnayoshiriki LIGI kuu ya nchini Rwanda.
Mshambuliaji wa zamani wa Vilabu vya Njombe Mji, Polisi Tanzania, Geita Gold FC, Fountain Gate, Mbeya City na Yanga SC Ditram Nchimbi amejiunga na klab ya Etincelles ilnayoshiriki LIGI kuu ya nchini Rwanda. Nchimbi amejiunga na klabu ya Etincelles kwa kandarasi ya miezi 6.
Chanzo: Mwanaspoti