Thu, 15 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dirisha la Usajili kwa klabu za Ligi Kuu ya NBC, NBC Championship, First League na Ligi Kuu ya Wanawake 2024/2025 linatarajiwa kufungwa leo Saa 5:59 usiku. Dirisha hilo lilifunguliwa rasmi Juni 15, 2024 na kuruhusu vilabu kufanya usajili kuelekea msimu mpya.
Dirisha la Usajili kwa klabu za Ligi Kuu ya NBC, NBC Championship, First League na Ligi Kuu ya Wanawake 2024/2025 linatarajiwa kufungwa leo Saa 5:59 usiku. Dirisha hilo lilifunguliwa rasmi Juni 15, 2024 na kuruhusu vilabu kufanya usajili kuelekea msimu mpya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: