Wed, 24 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp amethibisha kwamba mshambuliaji wao Diogo Jota atakosekana kwa muda wa wiki mbili kutokana na jeraha.
Diogo Jota alipata jeraha hilo mara baada ya kufunga goli lake kwenye mchezo wa ligi kuu ya England dhidi ya Fulham pale dimba la Craven Cottage.
Hivyo Jota hatokuwa sehemu ya kikosi ambacho kitacheza kwenye mechi ya leo ya Liverpool dhidi ya Everton.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live