Mon, 26 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muda wowote Staa wa Chelsea na Timu ya Taifa ya Morocco Hakim Ziyech atajiunga na Al Nassr ya Saudi Arabia.
Winga huyo tayari amekamilisha kila kitu na muda wowote ataungana na Cristiano Ronaldo.
Ziyech atasaini Mkataba wa miaka mitatu mpaka Juni 2026 na kila kitu waliafikiana tangu Juma lililopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live