Mon, 9 Oct 2023
Chanzo: Mwanaspoti
Kocha Diego Simeone yuko mbioni kusaini mkataba mpya kuendelea kuinoa Atlético de Mardid.
Tayari Madrid na Diego wameshafanya makubaliano ya mdomo (Verbal Agreement) huku kinachosubiriwa ni hatua ya kusaini mkataba lakini matakwa yote muhimu yamezingatiwa.
Baada ya takriban miaka 12 kama kocha wa Atletico Madrid, Simeone bado yuko tayari kukubali pendekezo hilo na kuendelea kusalia katika klabu hiyo.
Chanzo: Mwanaspoti
Related Articles: