Thu, 11 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Marumo Gallants ya Afrika ya Kusini mchezo wa mkondo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Beki wa Yanga Dickson Job ambae alionesha kiwango bora kwenye mchezo huo amezungumzia siri iliyowafanya kuibuka na ushindi katika mchezo huo muhimu wa nyumbani.
Dickson Job anasema kuwa;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live