Wed, 6 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Mshambuliaji wa Real Madrid Brahim Diaz (24) amekamilisha taratibu za kuiwakilisha timu ya Taifa ya Morocco
Kwa mujibu wa taarifa mbali mbali kutoka Spain, Diaz atakuwa sehemu ya kikosi cha Morocco kitakachocheza mechi za kirafiki dhidi ya Angola Machi 23 na dhidi ya Mauritania Machi 26.
Diaz mwenye asili ya Morocco tayari amezitumikia timu za vijana za Spain U17, U19 na U21.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live