Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji Djigui Diarra wa Yanga na mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo Fiston Mayele ambaye kwasasa anakipiga Pyramids ya Misri wanawania tuzo ya mchezaji bora kwa mashindano ya klabu Afrika 2023.
Tuzo hizo zitatolewa Desemba 11 nchini Morocco.
Tazama hapa chini Orodha kamili ya Wachezaji wa wanaowania Tuzo hiy
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: