Thu, 23 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa klabu ya Yanga Stephane Aziz Ki pamoja na Djigui Diarra wanatarajiwa kujiunga na kikosi leo wakitokea kwenye timu zao za Taifa kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya CR Belouizdad.
Nyota wa klabu ya Yanga Stephane Aziz Ki pamoja na Djigui Diarra wanatarajiwa kujiunga na kikosi leo wakitokea kwenye timu zao za Taifa kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya CR Belouizdad. Yanga ipo nchini Algeria wakijiandaa kwa mchezo wao wa kwanza wa Hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: