Thu, 28 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki na kipa Djigui Diarra wanatarajiwa kuwasili hii leo nchini Tanzania.
Wachezaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki na kipa Djigui Diarra wanatarajiwa kuwasili hii leo nchini Tanzania. Diarra na Aziz Ki moja kwa Moja wataungana na Kambini na Wachezaji wenzao tayari kwa Maandalizi ya Mwisho kuelekea Mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Mamelodi Sundowns siku ya Jumamosi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live