Thu, 6 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid, Manchester United na PSG Angel Di Maria amejiunga na klabu ya Benfica ya Ureno kwa uhamisho huru baada ya mkataba wake na Juventus kufikia ukomo.
Mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid, Manchester United na PSG Angel Di Maria amejiunga na klabu ya Benfica ya Ureno kwa uhamisho huru baada ya mkataba wake na Juventus kufikia ukomo. Di Maria (35) raia wa Argentina amesaini mkataba wa mwaka mmoja na anarejea klabuni hapo ikiwa ni miaka 13 tangu aondoke kuelekea Real Madrid.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live