Wed, 22 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Uholanzi, Memphis Depay na Atlético Madrid wamefikia makubaliao ya kusitisha mkabata baina yao.
Mshambuliaji wa Uholanzi, Memphis Depay na Atlético Madrid wamefikia makubaliao ya kusitisha mkabata baina yao. Memphis alikua na mkataba Atletico Madrid hadi juni 2025 hivyo baada ya kuafikiana kuachana Memphis atakuwa mchezaji huru kuelekea dirisha lijalo la kiangazi,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live