Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Depay atimkia Brazil

WhatsApp Image 2024 09 09 At 20.jpeg Depay atimkia Brazil

Tue, 10 Sep 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Aliyekuwa mshambuliaji wa Barcelona, Manchester United na Atletico Madrid Memphis Depay amejiunga na klabu ya Corinthians ya ligi kuu Brazil akitokea kwa mkataba wa miaka miwili hadi mwaka 2026.

Aliyekuwa mshambuliaji wa Barcelona, Manchester United na Atletico Madrid Memphis Depay amejiunga na klabu ya Corinthians ya ligi kuu Brazil akitokea kwa mkataba wa miaka miwili hadi mwaka 2026. Depay ambaye amejiunga na Corinthians akiwa mchezaji huru baada ya kuachwa na Atletico Madrid jana alifanyiwa vipimo vya afya jijini Eindhoven.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live