Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa Ireland James Mc Clean ameweka wazi kuwa sifa anazopewa kiungo wa klabu ya Arsenal na timu ya Taifa ya England Declan Rice hazimfai kutokana na uwezo anaoonyesha.
"Nafikiri Declan Rice anapewa sifa ambazo hastahili na vyombo vya habari vya England.Yule sio mchezaji wa viwango vikubwa Duniani."
"Rodri anaweza kuamrisha mchezo, Kroos anaweza kuamrisha mchezo ila Rice hawezi.Ni mzuri kwenye kile anachokifanya lakini kwa sifa anazopewa nadhani hazimfai."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live