Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Leicester City imemteua aliyekuwa kocha wa Norwich City na Aston Villa, Dean Smith kuwa kocha wa muda/mpito klabuni hapo kwa mkataba mpaka mwisho wa msimu.
Klabu ya Leicester City imemteua aliyekuwa kocha wa Norwich City na Aston Villa, Dean Smith kuwa kocha wa muda/mpito klabuni hapo kwa mkataba mpaka mwisho wa msimu. Smith (52) raia wa England anatua klabuni hapo kuchukua mikoba ya Brendan Rodgers aliyefutwa kazi kufuatia msururu wa matokeo mabaya yaliyoiacha klabu hiyo nafasi ya 19 kwenye msimamo wa EPL.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: