Tue, 16 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United imefikia makubaliano na Bayern Munich juu ya kumsajili beki Matthijs De Ligt kwa ada ya Euro milioni 42 itakayolipwa kwa mafungu.
Klabu ya Manchester United imefikia makubaliano na Bayern Munich juu ya kumsajili beki Matthijs De Ligt kwa ada ya Euro milioni 42 itakayolipwa kwa mafungu. De Ligt (24) raia wa Uholanzi amekubali mshahara wa pauni 170,000 kwa wiki huku akitarajiwa kusaini mkataba wa kuwatumikia Mashetani hao Wekundu mpaka Juni 2029.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live