Mon, 22 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Fc Barcelona Frenkie De Jong anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa kipindi kisichopungua mwezi mmoja kutokana na majeraha yanayomkabili.
Kiungo wa Fc Barcelona Frenkie De Jong anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa kipindi kisichopungua mwezi mmoja kutokana na majeraha yanayomkabili. De Jong alipata majeraha ya kifundo cha mguu wakati Barcelona ikivaana na Real Madrid hapo jana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live