Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Man City, Kevin de Bruyne ameanza mazoezi mepesi huku ukarabati wa yeye kurejea uwanjani ukiwa unakaribia.
Kiungo wa Man City, Kevin de Bruyne ameanza mazoezi mepesi huku ukarabati wa yeye kurejea uwanjani ukiwa unakaribia. Itakuwa ni wakati sahihi kurejea kwake haswa kwa kipindi hiki ambacho Manchester City anapata wakati mgumu kupata matokeo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live