Thu, 24 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa England ambaye pia aliwahi kuichezea Liverpool na Everton, David Johnson (71) amefariki dunia.
Nyota wa zamani wa England ambaye pia aliwahi kuichezea Liverpool na Everton, David Johnson (71) amefariki dunia. Mshambuliaji huyo alicheza mara 213 na kushinda magoli 78 katika miaka 6 akiwa Anfield. Amewahi pia kuwa kwenye kikosi kilichoshinda Mataji 4 ya Ligi, Makombe 3 ya Uropa, Makombe 3 ya Ligi na UEFA Super Cup.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live