Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa zamani wa Manchester United, Leicester City na Chelsea, Danny Drinkwater ametangaza kustaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 33.
Kiungo wa zamani wa Manchester United, Leicester City na Chelsea, Danny Drinkwater ametangaza kustaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 33. Drinkwater raia wa England ambaye alianza maisha yake ya soka kwenye shule ya vipaji ya Manchester United alikuwa mmoja wa nyota walioisaidia Leicester City kutwaa ubingwa wa kushangaza wa Ligi Kuu England msimu wa 2015-16.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live