Fri, 3 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa Juventus, Danilo ameongeza Mkataba wa kuendelea kukipiga Juventus mpaka mwaka 2025.
Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester City amekuwa na mchango mkubwa klabuni hapo na sasa ni Nahodha Msaidizi.
Danilo amejiunga na Juventus mwaka 2019 akitokea kwa wababe wa England, Manchester City.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live