Fri, 5 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Jana Mchezaji wa Yanga Augastine Okrah kupata majeraha kwenye mchezo dhidi ya Kvz Leo daktari wa yanga ametoa taarifa akieleza hali ya Okrah
Baada ya Jana Mchezaji wa Yanga Augastine Okrah kupata majeraha kwenye mchezo dhidi ya Kvz Leo daktari wa yanga ametoa taarifa akieleza hali ya Okrah "Baada ya kufanya vipimo zaidi tulibaini amevunjika baadhi ya mifupa ya kwenye pua, lakini tunashukuru anaendelea vizuri"- Daktari wa Yanga
Chanzo: www.tanzaniaweb.live