Mechi ya Wananchi, Young Africans Sc dhidi ya Mamelodi Sundowns almaarufu 'Masandawana' imepewa jina rasmi na wadhamini wa CAF (Total Energies) la 'SADC Derby'.
Kwa mujibu wa CAF, hakuna mechi kubwa nyingine iliyowahi kutokea kama hii ukanda huu wa nchi za Kusini mwa Ikweta au Jangwa la Sahara (Ukanda huu wa Jumuiya ya SADC)
Rangi ya njano ni rangi maalum kwa jezi na bendera ya timu zao na hata mataifa yao yote mawili.
Jumuiya ya SADC inajulikana kama The Southern African Development Community kifupi chake (SADC) kwa maana ni Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Kusini wa Bara la Afrika.
SADC ilianzishwa Mwaka 17/08/1992 Ikiwa makao Makuu yake Nchini Botswana Mpaka sasa ina Muunganiko wa nchi 16.
01 Zambia
02 Angola
03 Tanzania
04 Africa Kusini
05 Comoro
06 DR Congo
07 Malawi
08 Namibia
09 Zimbabwe
10 Mauritius
11 Lesotho
12 Madagasca
13 Seychelles
14 Eswatine
15 Mozambique
16 Botswana
Katika Ukanda huu wa SADC Una utajiri wa timu tano zikiwakilisha Simba,Yanga Mamelodi Sundowns na Petro De Luanda nchini Angola pamoja na TP Mazembe.