Leo Disemba 11, majira ya saa 11:00 za jioni kutapigwa mtanange wa watani wa Jadi kati ya Simba na Yanga.
Kila timu imejinasibu kufanya vyema dhidi ya mpinzani wake kutokana na ubora waliouonesha tangu kuanza kwa msimu mpya wa Ligi 2021/2022.
Katika mpira lolote linaweza kutokea lakini mshangao mkubwa zaidi hutokea pale ambapo timu moja baina ya watani anapoteza kwa idadi kubwa ya magoli kama ambavyo imeshawahi kutokea mika ya nyuma zilipokutana timu hizi.
Takwimu za Simba sc vs Yanga sc katika mechi walizofungana magoli mengi zaid kwenye Ligi Kuu Tanzania bara tangu kuanzishwa kwake mwaka 1965.
Tazama takwimu hapa chini;