Sat, 11 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muda mchache ujao, Nchi inakwenda kusimama kwa takriban dakika 90 kupisha gumzo la Jiji.
Mechi ya watani wa Jadi Simba SC watakaoikaribisha Yanga, Ila ukiachana na hayo bado kuna burudani nyingi nje ya uwanja.
Yote hayo ilimradi tu kuoneshana tambo za nani zaidi kukilo mwingine.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live