Sat, 11 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hakuna pa kutokea, Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Wananchi kutia Timu kwa Mkapa tayari kuoneshana ubabe na Mnyama Simba SC.
Tazama hapa chini wachezaji wa Yanga wakiingia Uwanjani.
Kikosi kimeshawasili kwenye Dimba la Benjamin Mkapa????#TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko pic.twitter.com/oiIb4a5mSl
— Young Africans SC (@yangasc1935) December 11, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live