Sat, 11 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Simba SC tayari kimeshawasili eneo la tukio, katika uwanja wa Benjamin Mkapa.
Simba tafsiri yake ni kuwa wako tayari kuwakabili vinara wa ligi kuu Bara, Young Africans.
Simba wataikaribisha Yanga majira ya saa 11:00 jioni katika mchezo wa Ligi Kuu Bara 2021/2022.
Tazama Picha hapa chini kikosi kilivyoingia.
Tumefika ???? #KariakooDerby #NguvuMoja pic.twitter.com/Jb0P5aqIal
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) December 11, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live