Sat, 11 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Babra Gonzalez, amezuiwa kuingia ndani ya uwanja wa Mkapa kushuhudia mechi ya Ligi Kuu kati ya Simba na Yanga.
Kupitia video fupi aliyoiachia Babra amesema alikua na familia yake na licha ya kuonesha tiketi zote bado hakuruhusiwa jambo lililomlazimu kuondoka eneo hilo.
Tazama video hapa chini Babra akitoa malalamiko yake
ASANTE SANA TANZANIA PREMIER LEAGUE BOARD kwa kunizuia kuingia kwenye mechi na familia yangu ???????? God bless TANZANIA. GOD BLESS SIMBA ???????????????????????? pic.twitter.com/2BJCItpT52
— Barbara Gonzalez (@bvrbvra) December 11, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live