Sun, 5 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji raia wa Zambia Kennedy Musonda anawatanguliza Yanga kwa bao la uongozi akiumganisha pasi safi ya Yao Kouassi.
Mshambuliaji raia wa Zambia Kennedy Musonda anawatanguliza Yanga kwa bao la uongozi akiumganisha pasi safi ya Yao Kouassi. Bao la Yanga limefungwa na Kennedy Musonda dakika ya tatu ya mchezo na mpaka sasa Yanga wako mbele kwa uongozi wa bao 1-0.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: