Sun, 5 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zinakamilika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Wenyeji Simba dhidi ya Yanga.
Bao ni 1-1 huku Kennedy Musonda akiwantanguliza Wananchi dakika ya 3' ya mchezo kabla ya Kibu Denis kuisawazishia Simba SC dakika ya 9.
Yanga wamefanya mashambulizi mengi langoni mwa Simba ambayo yamelenga lango (3) huku Simba wakifanya shambulizi 1.
Je dakika 45 za pili vigogo hawa watatuletea tofauti gani katika mchezo huu wenye ushindani wa hali ya juu?
Tusubiri tuone.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: