Sun, 5 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Raia wa Ivory Coast, Pacome Zouzoua anawaandikia Wananchi Yanga bao la 5 kwa mkwaju wa Penati baada ya Maxi Nzengeli kufanyiwa madhambi na Che Malone Fondoh na mwamuzi Ahmed Arajiga kuwapa yanga mkwaju wa Penati.
Kiungo Raia wa Ivory Coast, Pacome Zouzoua anawaandikia Wananchi Yanga bao la 5 kwa mkwaju wa Penati baada ya Maxi Nzengeli kufanyiwa madhambi na Che Malone Fondoh na mwamuzi Ahmed Arajiga kuwapa yanga mkwaju wa Penati.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live