Sun, 5 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mambo magumu kwa wenyeji wa Dabi ya Kariakoo, Simba SC katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Mambo magumu kwa wenyeji wa Dabi ya Kariakoo, Simba SC katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Magoli ya haraka haraka ya Stephen Aziz KI na Maxi Nzengeli yanawapa Wananchi uongozi wa mabao 4-1 mpaka hivi sasa dakika ya 80.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: