Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Winga wa kimataifa wa Brazil Douglas Costa ameamua kuondoka katika Klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, kwa sasa ni mchezaji huru.
Winga wa kimataifa wa Brazil Douglas Costa ameamua kuondoka katika Klabu ya LA Galaxy ya nchini Marekani, kwa sasa ni mchezaji huru. Douglas Costa yupo tayari kupata changamoto mpya haraka iwezekanavyo, na vilabu vya nchini Saudi Arabia vimeanza kummezea mate.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live