Thu, 20 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Leicester City iliyopanda daraja kwenda Ligi Kuu England imemteua mkufunzi Steve Cooper kuwa kocha mkuu klabuni hapo akichukua mikoba ya Enzo Maresca aliyetimkia Chelsea.
Klabu ya Leicester City iliyopanda daraja kwenda Ligi Kuu England imemteua mkufunzi Steve Cooper kuwa kocha mkuu klabuni hapo akichukua mikoba ya Enzo Maresca aliyetimkia Chelsea. Cooper (44) raia wa Wales ambaye amekuwa hana kibarua tangu alipotupiwa na Nottingham Forest mnamo Desemba mwaka jana amesaini mkataba wa miaka mitatu mpaka Juni 2027.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live