Tue, 25 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Ufaransa na klabu ya Bayern Munich, Kingsley Coman amegeuka lulu sokoni baada ya kutakiwa na timu tofauti.
Coman aliyeko na Ufaransa katika Mashindano ya Euro 2024 nchini Ujerumani thamani yake imetajwa na Bayern Munich kuwa ni kiasi cha Paundi Mil 50.
Timu hizo zinazomtaka Coman ni Paris Saint-Germain (PSG) Barcelona na klabu moja ya Ligi ya Uingereza ambayo haijawekwa wazi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live