Myota wa Chelesea, Cole Palmer ni mchezaji wa pili msimu huu aliyefunga mabao mengi zaidi katika Ligi Kuu England hadi sasa (20 sawa na Erling Haaland), wakati akiwa pia staa wa pili wa Chelsea kufunga hat-trick katika mechi mbili mfululizo nyumbani kwenye mashindano hayo baada ya Didier Drogba (Mei/August 2010).
Myota wa Chelesea, Cole Palmer ni mchezaji wa pili msimu huu aliyefunga mabao mengi zaidi katika Ligi Kuu England hadi sasa (20 sawa na Erling Haaland), wakati akiwa pia staa wa pili wa Chelsea kufunga hat-trick katika mechi mbili mfululizo nyumbani kwenye mashindano hayo baada ya Didier Drogba (Mei/August 2010).