Sat, 18 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Cole Palmer ameshinda tuzo ya mchezaji bora chipukizi wa mwaka wa Ligi Kuu England msimu wa 2023/24 baada ya kuhusika kwenye magoli 32 ya ligi hiyo msimu huu.
Kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Cole Palmer ameshinda tuzo ya mchezaji bora chipukizi wa mwaka wa Ligi Kuu England msimu wa 2023/24 baada ya kuhusika kwenye magoli 32 ya ligi hiyo msimu huu. Palmer amefunga magoli 22 na kusaidia (assist) mengine 10 mpaka sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live