Coastal Union imeanza ukarabati uwanja wa Mkwakwani kwa michezo ya Kombe la shirikisho (CAFCC), wamedhamiria kucheza nyumbani Tanga.
Coastal Union wameanza ukarabati wa Uwanja huo ili kuhakikisha unakidhi vigezi vya CAF.
"Kama wadau wangu watawiwa vizuri uwanja huu utawekwa viti, tukiweka viti uwanja mzima hata tukiingia makundi tutautumia uwanja huu."- amesema Rais Karia
Tazama Video hapa chini kuona ukarabati ukiendelea;
Coastal Union imeanza ukarabati uwanja wa Mkwakwani kwa michezo ya Kombe la shirikisho (CAFCC), wamedhamiria kucheza nyumbani Tanga.
— Nassib Mkomwa (@Nassibmkomwa_) June 6, 2024
????"Kama wadau wangu watawiwa vizuri uwanja huu utawekwa viti, tukiweka viti uwanja mzima hata tukiingia makundi tutautumia uwanja huu."- Karia pic.twitter.com/eofgRoDdEE