Klabu ya Coastal Union imeulizi uwezekano wa kupata saini ya Luis Miquissone na Saido Ntibazonkiza ambao wote wameachwa na klabu ya Simba Sports ya Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa klabu hiyo asilimia 90 ya usajili wamekamilisha, zimesalia aslimia 10% ambazo watajaribu kuzitumia kuwasajili wachezaji hao ikiwezekana.
Mpaka sasa klabu ya Simba imetoa Thank You kwa wachezaji wanne (4).
◉ John Bocco
◉ Saido Ntibazonkiza
◉ Shaban Chilunda
◉ Luis Miquissone
◉ Kennedy Juma.
Afisa habari wa klabu hiyo Ahmed Ally amesema bado kuna Thank You nyingine za kutosha zinakuja Msimbazi.
Huu ni usajili wa Simba SC msimu uliopita 23|24, kati yao wangapi watabaki kikosini ?
01 ◉ Luis Miquissone ❌
02 ◉ Fabrice Ngoma
03 ◉ Che Malone Fondoh
04 ◉ Aubin Kramo
05 ◉ Abdallah Hamis
06 ◉ Esomba Onana
07 ◉ Shaban Chilunda ❌
08 ◉ Freddy Michael
09 ◉ Pa Omary Jobe
10 ◉ Babakar Sar
11 ◉ Ayoub Lakred
12 ◉ Ladack Chasambi
13 ◉ Sarehe Karabaka
14 ◉ Hussein Abel
15 ◉ Edwin Balua.