Sat, 5 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa mashindano 2022/23 Wachezaji na mashabiki wa Coastal Union ya Jijini Tanga wamekusanyika na kufanya dua ya pamoja kuwaombea Wachezaji na Viongozi wa timu yao waliotangulia mbele ya haki.
Kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa mashindano 2022/23 Wachezaji na mashabiki wa Coastal Union ya Jijini Tanga wamekusanyika na kufanya dua ya pamoja kuwaombea Wachezaji na Viongozi wa timu yao waliotangulia mbele ya haki. Dua hiyo imefanyika leo Agosti 5 Jijini Tanga.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live