Thu, 30 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kutandikwa mabao 2-1 dhidi ya Singida Fountain gates klabu ya Coastal union Leo saw 1:00 usiku watakuwa uwanja wake wa nyumbani wa Mkwakwani dhidi ya Geita Gold ya Geita.
Geita walishinda bao 1-0 dhidi ya Namungo pale Nyankumbu-Geita.
katika michezo minne ya mwisho waliyokutana Geita na Coastal ,Coastal wamekuwa vibonde wa wachimba dhahabu kwani hawajawahi kupata ushindi wowote zaidi ya kuambulia sare tu.
Geita Gold ushindi -2
Coastal union ushindi-0
Sare - 2.
Leo unaenda na nani uwanja wa Mkwakwani ?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: