Mon, 25 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Afisa Habari na Mawasiliano TFF Clifford Mario Ndimbo ameteuliwa na CAF kuwa Ofisa Habari wa mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Yanga SC (Tanzania) vs Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini) utakaochezwa uwanja wa Benjamin Mkapa Machi 30, 2024.
Afisa Habari na Mawasiliano TFF Clifford Mario Ndimbo ameteuliwa na CAF kuwa Ofisa Habari wa mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Yanga SC (Tanzania) vs Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini) utakaochezwa uwanja wa Benjamin Mkapa Machi 30, 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: